TUNAENDELEA KUMUONA MUNGU NA KUJIFUNZA USHIRIKA WA KINONDONI
Hits: 92
Mchungaji wa Kanisa la Moravian Ushirika wa Kinondoni Gentleman Mwansile akihudumu katika madhabahu ya ushirika huo, hakika tunabarikiwa sana na huduma yake
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk Harrison Mwakyembe jumapili hii ameshiriki ibada pamoja na waumini wa kanisa la moravian Ushirika wa Kinondoni ikiwa ni pamoja na kutoa salamu zake za Mwaka Mpya.
IBADA YA KUMUAGA MCHUNGAJI GENTLEMAN MWANSILE.
Gentleman Richard Mwansile ni Mchungaji aliyehudumu Kinondoni kwa kipindi cha miaka mitatu tangu Disemba 2017 mpaka Novemba 2020, ni Mchungaji wa 11 Kati ya wachungaji waliowahi kuhudumu katika...
Mchungaji wa Kanisa la Moravian Ushirika wa Kinondoni Gentleman Mwansile akihudumu katika madhabahu ya ushirika huo, hakika tunabarikiwa sana na huduma yake